MASWALI NA MAJIBU MAPAMBAZUKO YA MACHEO NA HADITHI NYINGINE
Buy Soft Copy
Setbook Pockets Educational

MASWALI NA MAJIBU MAPAMBAZUKO YA MACHEO NA HADITHI NYINGINE

By DORINE CHAN. & Bi Doreen Chan (Kadika Girls)

Price

KES 10.0
Soft Copy Available

About this Book

Kwa mujibu wa mitindo mipya ya KNEC, kuna masuala nyeti ambayo
watahiniwa wanahitajika kujua:
a) Suala la umuhimu wa mhusika katika kuendeleza ploti
Mtahiniwa azingatie matendo aliyoyatenda au aliyotendewa.
mifano
Tembo anaenda kwa Mama Tembo kunywa pombe.
Tembo anapoteza macho yake baada ya kunywa pombe haramu.
b) Umuhimu wa mhusika katika kukuza hadithi/ riwaya/
tamthilia:
Mwanafunzi azingatie masuala haya:
i) Anavyokuza maudhui
ii) Anavyokuza ploti
iii) Anavyokuza sifa za wahusika
iv) Anavyotambulisha wahusika.
v) Anavyodhihirisha dhamira ya mwandishi
vi) Anavyoibua mbinuishi
vii) Anavyoibua mgogoro
vii) Anvyoibua toni nk
c) Umuhimu ya mandhari- zingatia hoja za umuhimu wa
mhusika.
d) Umuhimu wa mbinu za sanaa kama barua,ushairi,hotuba,rejeshi
nk-zingatia hoja za umuhimu wa wahusika pia.
d) Mwanafunzi atambue kuwa vipengele vya wahusika,maudhui
na mtindo huingiliana katika utahini wa fasihi andishi

Book Details

Category: Setbook Pockets
Added on: August 14, 2024
Formats: Digital, Print
Share this book:

You May Also Like

View All
Juzi ya Kuogofya

Juzi ya Kuogofya

Joseph Karanja
KES 200.0
View
Model KCSE Questions with Answers THE SAMARITAN

Model KCSE Questions with Answers THE SAMARITAN

JOHN LARA.
KES 10.0
View
Parliament of Owls Model KCSE Essay Questions With Answers And Summary

Parliament of Owls Model KCSE Essay Questions With Answers And Summary

NATHAN WANYONYI
KES 10.0
View
Mwongozo wa NGUU ZA JADI

Mwongozo wa NGUU ZA JADI

George Kariuki
KES 10.0
View