Book Cover

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI MATUMIZI YA LUGHA Kwa Shule za Upili

Michael Latim Kegode

Samwel Ochiel Owino

DORINE CHAN.

Bi Wamaitha (Utumishi Academy)

Price: 10.0

Kitabu hiki kimeandikwa kwa uzingativu mkubwa unaolenga kuyakidhi mahitaji ya wanafunzi wote wa shule za upili na hata walimu. Kimezingatia silabasi ya Kiswahili kuanzia
kidato cha kwanza hadi kidato cha nne katika Matumizi ya Lugha
Kitabu hiki kinahusisha matini ambayo yamezikusanya mada zote na kuziwasilisha kwa
lugha nyepesi na sahili. Kinaweza kueleweka kwa urahisi na wanafunzi. Kimewasilisha
vipengele vyote kwa namna itakayorahisishia wanafunzi na vilevile walimu ujifunzaji na
ufundishaji. Vipengele hivi vimewasilishwa pamoja na mifano na hata mazoezi ya maswali
ya KCSE kutolewa kila baada ya mada na majibu yake kutolewa kulingana na miongozo yake
ya KCSE.
Mada za silabasi zimepanguliwa na kupangwa upya ili kuwasilishwa kwa mfululizo kuanzia
mada za kidato cha kwanza hadi kidato cha nne. Kitabu hiki hivyo basi kitamfaa sana mwanafunzi yeyote aliye na ari ya kujisomea na hata kupiga hatua mbele ya mwalimu. Kimewasilisha maswali ya KCSE kuanzia mwaka wa 2006 hadi sasa. Maswali hayo ya KCSE vilevile
yamepanguliwa na kupangwa upya kulingana na mada na majibu yake kutolewa nyuma ya
kitabu hiki. Mwanafunzi anayejitayarisha kwa mtihani wa KCSE atapata mwelekeo bora
kupitia kitabu hiki ili kumuwezesha kufaulu vyema katika Kiswahili.
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwapendekezea walimu wakuu wa shule mbalimbali nchini, walimu wa Kiswahili na wanafunzi wapendao matokeo bora kujinyakulia nakala ya kitabu
hiki ili kiwanufaishe. Ahsanteni.
1. Zaidi ya wote, ni kumshukuru Mola, Rabuka kwa Neema zake za Uhai na Maarifa.

May We Also Suggest

Book Cover

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: USHAIRI Kwa Shule za Upili

Samwel Ochiel Owino

Michael Latim Kegode

Bi Wamaitha (Utumishi Academy)

Bi Doreen Chan (Kadika Girls)

Price: KES 10.0
Book Cover

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI MATUMIZI YA LUGHA Kwa Shule za Upili

Michael Latim Kegode

Samwel Ochiel Owino

DORINE CHAN.

Bi Wamaitha (Utumishi Academy)

Price: KES 10.0
Book Cover

MASTERING KCSE POETRY Revision Notes From An Experienced Examiner

Peter M Kamau

Price: KES 10.0
Book Cover

Mastering Oral Literature Skills For K.C.S.E Revision

Peter M Kamau

Price: KES 10.0
Book Cover

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI ISIMUJAMII Kwa Shule za Upili

Samwel Ochiel Owino

Michael Latim Kegode

Price: KES 10.0
Book Cover

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: FASIHI SIMULIZI Kwa Shule za Upili

Michael Latim Kegode

Price: KES 10.0
Book Cover

MASTERING K.C.S.E COMPOSITION WRITING Comprehensive and Detailed Guide

VINCENT MUIRURI

Price: KES 10.0