MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: FASIHI SIMULIZI Kwa Shule za Upili
Buy Soft Copy
Pocket Guide Educational

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: FASIHI SIMULIZI Kwa Shule za Upili

By Michael Latim Kegode

Price

KES 10.0
Soft Copy Available

About this Book

Kitabu hiki cha Fasihi Simulizi kinahusisha matini ambayo
yamevikusanya vipera vyote vya fasihi simulizi na kuviwasilisha kwa
lugha nyepesi na sahili. Pia kimeshughulikia aina za mashairi na vigezo
mbalimbali vya kuyaainisha mashairi. Lengo la kufanya hivyo ni
kuwawezesha wanafunzi kujisomea na kufanya utafiti wa ziada wakiwa
na msingi bora katika sehemu hizi.
Kitabu hiki kitamfaa sana mwanafunzi yeyote aliye na ari ya
kujisomea na hata kupiga hatua mbele ya mwalimu. Kimewasilisha
maswali ya KCSE kuanzia mwaka wa 2006 hadi sasa. Mwanafunzi
anayejitayarisha kwa mtihani wa KCSE atapata mwelekeo bora kupitia
kitabu hiki ili kumwezesha kufaulu vyema katika Kiswahili.
Ningependa kuwahimiza wanafunzi kukipitia kitabu hiki kabla ya
kukumbana na mtihani wao. Kwa kufanya hivyo watakuwa na chukua
nafasi hii kuwapendekezea walimu wakuu wa shule mbalimbali
nchini, walimu wa Kiswahili na wanafunzi wapendao matokeo bora
kujinyakulia nakala ya kitabu hiki ili kiwanufaishe. Ahsanteni.

Book Details

Category: Pocket Guide
Added on: August 14, 2024
Formats: Digital, Print
Share this book:

You May Also Like

View All
MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: USHAIRI Kwa Shule za Upili

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI: USHAIRI Kwa Shule za Upili

Samwel Owino
KES 10.0
View
MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI MATUMIZI YA LUGHA Kwa Shule za Upili

MARUDIO KAMILIFU YA KISWAHILI MATUMIZI YA LUGHA Kwa Shule za Upili

Michael Kegode
KES 10.0
View
MASTERING KCSE POETRY Revision Notes From An Experienced Examiner

MASTERING KCSE POETRY Revision Notes From An Experienced Examiner

Peter Kamau
KES 10.0
View
Mastering Oral Literature Skills For K.C.S.E Revision

Mastering Oral Literature Skills For K.C.S.E Revision

Peter Kamau
KES 10.0
View